Posts

Showing posts from August, 2018

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA UNGA

JE UNGEPENDA KUJUA JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA UNGA???    Karibu uungane nami katika mafunzo haya leo tutajifunza utengene zaji wa sabuni ya unga      Mahitaji 1)Saifonic acid kilo 1 2)Maji nusu lita 3)Soda ash kilo 6 4)Sodium metassilyket     kilo 1 5)Optic blaitina vijiko 10     vya chakula 6)Perfume vijiko 2 vya     Chakula 7)Rangi vijiko 2 vya     chakula 8)Nanza            Hatua 1)Andaa ndoo ya plastik kisha tia sallifonic acid na uanze kukoroga kuelekea upande mmoja 2)Tia optic blaitina ,nanza   na perfume na uendelee kukoroga mpaka vichanganyikane Vizuri 3)Wakati unaendelea kukoroga tia soda ash nusu na uendelee kukoroga kisha tia sodium metasilic yote na ukoroge mpaka vichanganyikane vizuri 4)Tia rangi vijiko 2 vya chakula,halafu tia maji na koroga vichanganyikane vizuri baada ya hapo anika sabuni yako kivulini  kwa kutumia nailon kwa muda wa masaa matatu au manne baada ya hapo sabuni itakuwa tayari kwa matumizi Huo ndio utengenezaj

ZIJUE SIRI TANO ZA KUJIAJIRI

ZIJUE SIRI TANO MUHIMU KABLA HUJAAMUA KUJIAJIRI    MAMBO YA KUZINGATIA    Jinsi ya kujiajiri  Mambo matano ya kuzingatia kabla ya kujiajiri ni haya yafuatayo    Ideas(wazo) Una idea ya kitu gani ambacho unaona unaweza kufanya nini haijalishi umesoma mpaka wap au una elimu kiasi gani wazo ni muhimu sana kama unataka kufanya jambo    Fanya reseach Fuatilia hicho kitu unachokitaka kufanya kinafanyika vipi jifunze kwa watu walioko kwenye hiyo fani au waliotangulia    Anza kufanya kile kitu usisubiri labda upate mamilion ya pesa ndio uanze kufanya anza na kidogo ulichonacho kiendeleze hadi kikue   Soma Unatakiwa usome sana taka kujua kuhusiana na kile kitu na ujifunze kwa waliofanikiwa   Shirikisha wengine ili uweze kupata expirience ya hicho kitu unachokifanya    Usiogope changamoto utakazokutana naxo wakati wa kufanya kile kitu usikate tamaa inaweza kuwa njia moja wapo ya kukuimarisha     Na ili uwe mjasiriamali wa kweli lazima upambane na changamoto,usipopambana na

SI LAZIMA UWE NA DEGREE ILI KUFANIKIWA

Image
Heloooow Ukiwa mmoja kati ya watu wanaohangaika ,unalalamika huna kazi,huna ajira ,umekata tamaa ya maisha hujui nn cha kufanya haijalishi umemaliza chuo au hujasoma ,hii haitaji kwenda chuo au mpaka uwe na madigree ndo ufanye, Umewahi kujiuliza mtaan kwako umezungukwa na maduka mangapi yanayohitaji bidhaa mbalimbali au jamii yako iliyokuzunguka inauhi taji gan ina uhijaji gan? Ninakuletea mafunzo ya ujasiriamali ,jinsi ya kutengeneza bidhaaa mbalimbali za viwandan,kama sabuni za miche,sabun za usaf,sabun za kuoshea magar,kunawia mikono,dawa za masinc yaliyofubaa,utengengenezaj i wa batiki aina zote ,vikoi,njia bora za ufugaji wa kuku kibiashara ili uweze kujiajiri mwenyewe na kujipatia kipato. Kwa mtaji mdogo unaweza kufanya haya na ukafanikiwa tuondokane na dhana ya mpaka uwe na mamilion ya pesa ndio uweze kufanya jambo . Fanya maamuzi sasa ondokana na dhana ya kuarisha mambo muda haukusubiri utabakia mtu wa kulalamika na maendeleo utayaona kwa wenzako tuu  Ili uweze kupata m

ELIMIKA NA SOFIA MUTASHOBYA

Image
Hellow rafiki, karibu sana kwenye blog yetu hii mpya ambayo itakuwa ikifundisha jinsi ya kujikwamua kiuchumi kwa kufundisha elimu mbalimbali za ujasiriamali. Karibu sana uendelee kutembelea blog hii! Ni mimi ninayejali mafanikio yako; SOFIA MUTASHOBYA.