Posts

Showing posts from November, 2018

JINSI YA KUTENGENEZA BATIKI YA BLEACH

  Jinsi ya kutengeneza:     Mahitaji  Andaa kitambaa cha batiki kisha kitundike kwenye kamba au kitandike kwenye meza au majan 2)Changanya bleach na maji kwenye uwiano ulio sawa kisha itie kwenye chupa ya kunyunyuzia,na unyunyuzie kwenye kitambaa had kienee kote 3)Kiache kwa dakika 5-10 kisha kitoe na ukifue halafu kianike kwenye kivuli hadi kikauke ,kisha piga pas hapo ni tayar kwa matumiz

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI YA KUFULIA

Sabuni ya maji kufulia Mahitaji Salifoniki acid kilo 1 Sodash robo kilo Maji lita 20 Slesi robo kilo C.D.E vijiko vitano vya chakula Gricelini vijiko 15 vya chakula Chumvi ya viwandan kilo 1 C.M.C vijiko vitano vya chakula Pafumu kijiko 1 cha chakula Rangi kijiko 1 chai     Hatua Andaa ndoo ya plastik kisha weka salifonic acid,ikifuatiwa na sodash iliyochanganywa na maji na uanze kukoroga,weka maji na ukoroge mpaka vichanganyikane vizur 2)wakati ukiendelea kukoroga weka sles,c.d.e na gricelin na uendelelee kukoroga 3)Tia chumvi na uikoroge mpaka ilainike vixuri kisha weka c.m.c kidogo kidogo kwa kunyunyuzia huku ukiendelelea kukoroga,kisha weka rangi na perfumu na uendelelee kukoroga kwa dakika 10-15 4)Baada ya hapo iache kwa saa 24 na itakuwa tayar kwa matumiz NB:Kazi za malighafi C.d.e kulaininisha maji Gricelin kulainisha nguo Chumvi kutia uzito C.m.c kuongeza uzito jinsi unavyotaka

UTENGENEZAJI WA DAWA YA MADOA

Hellowwww Utengenezaji wa dawa ya madoa    Mahitaji:  1)Maji 20 2)Calcium hypoklorite nusu kilo 3)Sodash kilo 1  Hatua Andaa ndoo ya plastick kisha weka maji na uanze kukoroga kuelekea upande mmoja 2)Weka mahitaji yote na uendelee kukoroga kwa 10 kisha iache kwa siku tatu 3)Siku ya tatu ichuje na itakuwa tayar kwa matumizi NB:Hakikisha wakat wa kukoroga usibadilishe mwelekeo Asante sana usiache kutembelea blog hii

JINSI YA KUDARIZI

JIFUNZE JINSI YA KUDARIZ Je ungependa kujifunza jinsi ya kudarizi vitambaa vya makochi,mashuka,foronya za kitandani pamoja na kwenye makochi nifuatilie katika masomo yangu hatua kwa hatua  ili uweze kujifunza Lakini tutaanza na kujifunza jinsi ya kudarizi vitambaa           MAHITAJI 1)Mashine ya kudarizi 2)Kitambaa 3)Nyuzi za rangi 4)Binding/au urembo wa less 5)Tape measure ya kupimia kitambaa 6)Karatasi iliyochorwa mauwa 7) Cabornpaper 8)Ringi ya kubana kitambaa wakati wa kudariz Hayo ndio mahitaji muhimu yanayotakiwa unataka kudariz kitambaa na kama yanavyoonekana hapo juu kwenye picha       Jinsi ya kudarizi hatua kwa hatua 1)Andaa kitambaa ,kitambaa kinatakiwa kiwe cha tetron ndio kifaa zaidi kwa kudarizi ,kisha pima kulingana na zaiz ya kitambaa unachotaka ,aidha ni kidogo au kikubwa ,kwa kawaida kikubwa kinakuwa ni mita moja ambayo ni cm 100 urefu na upana ulingane  au utakavyopenda mwenyewe,na kidogo  cm 16 kwa 16 urefu na upana ulingane ila ukitaka kikubwa za